Your help needed

As we committed ourselves to have our own premises for an improvement and to provide high quality of Islam education for the muslims in Leicester, Madrasatul Noor Leicester would like to take an oppertunity to inform every one who wish to contribute and to support our project to use our account below: Madrassatul Noor Leicester Lloyds TSB Bank Account number: 45127768 Sort Code: 30-94-97 International Bank account: LOYDGB21029 GB27LOYD30949745127768 If you would like to have more information please do not hasitate to contact us through these emails: madrasatulnoor.01@gmail.com or fcalwattan@gmail.com With a lot of thanks

23 Feb 2012

Urusi yawaonya Israel juu ya Iran


Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Gennadi Gatilov

Urusi kwa mara nyingine imeuonya utawala haramu wa Israel kuhusu maafa makubwa yatakayojiri iwapo utawala huo utathubutu kuishambulia kijeshi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Gennadi Gatilov amesema mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran yatasababisha maafa makubwa kieneo na kimataifa.

Marekani, utawala wa Kizayuni wa Israel na waitifaki wao wamekuwa wakiituhumu Iran kuwa ina malengo ya kijeshi katika mpango wake wa nyukla. Kwa kisingizio hicho wamekuwa wakitoa vitisho vya kuishambulia Iran kijeshi.
Iran inasisitiza kuwa shughuli zake za nyuklia zinafanyika kwa malengo ya amani. Aidha Iran inasema kwa vile ni mwanachama wa Mkataba wa Kuzuia Utengenezaji na Usambazaji Silaha za Nyuklia NPT na vile vile kama mwanachama wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA ina haki ya kutumia teknolojia ya nyuklia kwa malengo ya amani.

No comments:

Post a Comment