Your help needed

As we committed ourselves to have our own premises for an improvement and to provide high quality of Islam education for the muslims in Leicester, Madrasatul Noor Leicester would like to take an oppertunity to inform every one who wish to contribute and to support our project to use our account below: Madrassatul Noor Leicester Lloyds TSB Bank Account number: 45127768 Sort Code: 30-94-97 International Bank account: LOYDGB21029 GB27LOYD30949745127768 If you would like to have more information please do not hasitate to contact us through these emails: madrasatulnoor.01@gmail.com or fcalwattan@gmail.com With a lot of thanks

5 Jul 2014

Picha: PBZ yafutarisha wateja wake Pemba

 MAKAMO wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe:Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na viongozi wa Benk ya watu wa Zanzibar, PBZ Tawi la Pemba wakati alipokuwa akiwasili katika futari maalumu iliyoandaliwa na Benk hiyo kwa wateja wake huko ZSSF Chake Chake Pemba.
 
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akiwa na Viongozi wa Serekali na wa PBZ, wakati wa futari Maalum ilioandaliwa na Benki ya Watu wa Zanzibar Ltd, kwa Wateja wake Kisiwani Pemba, iliofanyika katika viwanja vya Hoteli ya ZSSF Chakechake Pemba jana.
 
 Wananchi na Wafanyabiashara Kisiwani Pemba wakipata futari maalum ilioandaliwa na PBZ kwa ajili ya Wateja wao walioko Pemba na kujumuika na Wafanyakazi wa PBZ Tawi la Pemba, futari hiyo imefanyika katika viwanja vya hoteli ya ZSSF Chakechake Pemba jana. 
 
Wananchi wakipata futari maalum iliandaliwa na PBZ Tawi la Pemba katika viwanja vya hoteli ya ZSSF Pemba.
 
Mkurugenzi Mtendajin wa Benki ya Watu wa Zanzibar Ndg Juma Amour, akitowa shukrani kwa Wananchi na Wafanyabiasha wa Kisiwani Pemba baada ya kumaliza kupata futari ilioandaliwa kwa ajili yao katika viwanja vya hoteli ya ZSSF Chake Pemba na kuhudhuriwa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad.(Picha na Abdi Suleiman -Pemba)  

Chanzo: Zanzinews

No comments:

Post a Comment