Your help needed

As we committed ourselves to have our own premises for an improvement and to provide high quality of Islam education for the muslims in Leicester, Madrasatul Noor Leicester would like to take an oppertunity to inform every one who wish to contribute and to support our project to use our account below: Madrassatul Noor Leicester Lloyds TSB Bank Account number: 45127768 Sort Code: 30-94-97 International Bank account: LOYDGB21029 GB27LOYD30949745127768 If you would like to have more information please do not hasitate to contact us through these emails: madrasatulnoor.01@gmail.com or fcalwattan@gmail.com With a lot of thanks

28 Jan 2012

Wajumbe wa Madrasatul Noor watembelea jengo wanalotegemea kulimiliki huko Leicester town

Jengo linavyoonekana kwa mbele, baadhi ya wajumbe wakiwa wamesimama katika mlango mkubwa wa kuingilia ndani ya jengo hilo

Mwenyekiti na Katibu msaidizi wa Kamati ya Madrasatul Noor wakiwa katika eneo la kuingilia katika ukumbi mkubwa na picha ya chini wakiwa ndani ya ukumbi huo

Ngazi za kuelekea juu kwenye kumbi nyengine pamoja na vyumba na maofisi

Ukumbi mwengine uliopo katika ghorofa ya kwanza

Ukumbi mwengine mdogo katika ghorofa ya kwanza

Ukumbi mwengine katika ghorofa ya kwanza

Corridor ambayo inaonyesha baadhi ya vyumba katika ghorofa ya kwanza

Jiko ambalo lina store yake pamoja na freezer moja kubwa

Mwenyekiti na makamu wake pamoja na mjumbe mkuu wa Kamati wakijadiliana kitu katika moja ya eneo la jikoni

Wajumbe wakiendelea kujadiliana kitu katika ukumbi mkuu wa jengo hilo


22 Jan 2012

Madrasatulnoor Leicester Pictures


Kids are carefully listening to their Teacher in the Class

21 Jan 2012

Wanafunzi wa kiislamu waandamana Dar


Waziri wa Elimu na Mafunzo ya ufundi Dr Shukuru Kawambwa akiwasili katika viwanja vya Kidongo Chekundu Dar es salaam kuzngumza na wanafunzi wa kiislamu walioandamana kupinga uamuzi uongozi wa shule ya sekondari ya Ndanda wa kuwafukuza wanafunzi wenzao 20



Dr Kawambwa akihutubia wanafunzi hao katika viwanja vya Kidongo chekundu jijini Dar es salaam


Rais wa wanafunzi wa kiisalm ndugu Jaffar Mneto akizungumza na wanafunzi ambao walifanya maandamano ya amani katika viwanja vya Kidongo Chekundu jijini Dar es salaam




Jeshi la polisi liliimarisha ulinzi katika viwanja vya Kidongo chekundu




Wanafunzi wakiwa wanamsikiliza waziri wa Elimu na Mafunzo ya ufundi katika viwanja vya Kidongo Chekundu, ambapo wanafunzi hao waliandamana kupinga uongozi wa shule ya sekondari ya Ndanda kuwafukuza wanafunzi wenzao 20


Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalumu Suleiman Kova akiagana na waziri Dr Kawambwa baada ya kumaliza kuzungumza na wanafunzi wa kiislamu katika viwanja vya Kidong Chekundu jijini Dar

Picha: Usafirishaji wa maiti baadhi ya sehemu Bukoba




Hii ni maiti ya mwanamke ikisafirishwa kutoka Ndolage hospitali kuelekea kijijini Ichwandimi, jamaa amekodiwa na mtu aliyefiwa na mke wake. Hii ni mkoani Bukoba.

15 Jan 2012

Nimeipenda hii


Waumini wa kiislamu wakiswali sala ya Ijumaa katika boti walipokuwa wamehudhuria Ijtima ya Biswa huko Dhaka Bangladesh