Your help needed

As we committed ourselves to have our own premises for an improvement and to provide high quality of Islam education for the muslims in Leicester, Madrasatul Noor Leicester would like to take an oppertunity to inform every one who wish to contribute and to support our project to use our account below: Madrassatul Noor Leicester Lloyds TSB Bank Account number: 45127768 Sort Code: 30-94-97 International Bank account: LOYDGB21029 GB27LOYD30949745127768 If you would like to have more information please do not hasitate to contact us through these emails: madrasatulnoor.01@gmail.com or fcalwattan@gmail.com With a lot of thanks

22 Apr 2012

Waislamu nchini Ufaransa wasema hawatampigia kura Sarkozy

VoilĂ ! French President Nicolas Sarkozy cast's his vote in Paris in the first round of the elections while wife Carla Bruni looks on
Rais wa Ufaransa akipiga kura

Duru ya kwanza ya uchaguzi wa kuwania urais nchini Ufaransa iemanza hii leo kwa kuelekea wananchi katika masanduku ya kupigia kura.

Utata mkubwa katika uchaguzi huo ni kutoshiriki zoezi la kupiga kura watu ambao wametimiza masharti ya kupiga kura katika uchaguzi huo.

Taasisi za uchunguzi wa maoni zimeripoti kuwa asilimia 25 ya watu waliotimiza masharti ya kupiga kura, kuna uwezekano mkubwa wasipate fursa ya kushiriki katika uchaguzi huo.

Hivi sasa mashirika yanayojihusisha katika uchaguzi huo yamepigwa marufuku kutabiri au kutangaza matokeo ya uchaguzi huo kabla ya masaa 20 ya kutangazwa rasmi. Waledi wa mambo wanasema kuwa, wanatabiri kuwa Rais wa sasa wa Ufarans Nicola Sarkozy atashindwa na mpinzani wake wa chama cha Harakati ya Kitaifa Francois Hollande.

Wakati huo huo Waislamu waishio nchini Ufaransa wametangaza kuwa, hawatampigia kura rais wa sasa wa nchini hiyo kutokana na misimamo yake ya kiadui dhidi ya Waislamu na dini yao.

No comments:

Post a Comment