Your help needed

As we committed ourselves to have our own premises for an improvement and to provide high quality of Islam education for the muslims in Leicester, Madrasatul Noor Leicester would like to take an oppertunity to inform every one who wish to contribute and to support our project to use our account below: Madrassatul Noor Leicester Lloyds TSB Bank Account number: 45127768 Sort Code: 30-94-97 International Bank account: LOYDGB21029 GB27LOYD30949745127768 If you would like to have more information please do not hasitate to contact us through these emails: madrasatulnoor.01@gmail.com or fcalwattan@gmail.com With a lot of thanks

8 Apr 2012

Picha: Khitma ya aliyekuwa Rais wa kwanza Zanzibar, Abeid Amaan Karume huko Kisiwandui Unguja


Baadhi ya watu waliohudhuria Khitma hiyo wakiwa nje ya jengo la Afisi Kuu ya CCM, Kisiwandui


Rais mstaafu wa Zanzibar Amaan Karume akiwasili katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM kuhudhuria khitma ya marehemu baba yake Abeid Karume


Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanziba Maalim Seif nae akiwasili viwanjani hapo


Makamu wa pili wa Rais Zanzibar, Balozi Ali Seif Iddi akisalimiana na baadhi ya viongozi wa chama


Mama Fatma Karume akisalimiana na kamishna wa Polisi Mussa Ali, alipowasili katika viwanja vya Kisiwandui kuhudhuria khitma ya aliyekuwa mumewe hayati Abeid Karume


Rais mstaafu wa Tanzania bwana Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na baadhi ya viongozi alipowasili viwanjani hapo


Rais wa Zanzibar Dokta Ali Mohamed Shein akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Chama na Serikali alipowasili uwanjani hapo








Waliohudhuria walisoma Quran na baadae kufatiwa dua






Baadae ilikuwa kumuombea marehemu dua katika kaburi lake. Mufti mkuu wa Zanzibar sheikh Omar Kabbi akisoma dua

No comments:

Post a Comment