
Native Deen: Ni kikundi cha muziki cha kiislamu kinachotokea jijini Washington D.C. nchini Marekani.
Kundi hili linaundwa na watu watu nao ni: Joshua Salaam Naeem Muhammad na Abdul-Malik Ahmad.
Ni kundi la muziki wa hip hop ambalo huwa wanaimba nyimbo za kuuelezea uislamu.
Angalia moja ya video:
No comments:
Post a Comment