15 Jan 2015

Msiba katika mji wa Leicester UK

Ndugu Hussein Issa Mohammed wa mjini Leicester anatangaza msiba wa kifo cha mwanawe wa kumzaa Abubakar Hussein kilichotoke siku ya Jumatatu kwa ajali ya gari.

Mipango ya mazishi bado inaendelea na habari kamili zikishapatikana tutawajulisha.

Tumuombe Allah amsamehe madhambi yake ya siri na ya Dhahiri, amuondoshee adhabu ya kaburi na amjaalie awe katika waja wa peponi.

Ameen

No comments:

Post a Comment