28 Jan 2015

Msaada wa ujenzi wa Msikiti Mafia

Wakaazi wa Mafia na baadhi ya vitongoji vyake wanawaomba waislamu wote popote pale duiniani kusaidia ujenzi wa msikiti mpya ambao tayari umeshakuwa upo katika harakati za ujenzi.

Kwa maelezo zaidi na namna gani jinsi ya kusaidia tafadhali wasiliana na Bwana Juma Yakoub kwa namba hii: +255 687 570799.

Tukumbuke kuwa Mtume Muhammad (SAW) amesema "Yeyote atakaejenga msikiti kwa ajili ya Allah, basi Allah nae atamjengea nyumba peponi".

Zifuatazao ni picha za msikiti uliopo sasa na picha za jengo jipya:

 
Huu ndio msikiti utumikao kwa sasa

Maendeleo ya jengo jipya la msikiti

No comments:

Post a Comment