13 Dec 2011

Native Deen



Native Deen: Ni kikundi cha muziki cha kiislamu kinachotokea jijini Washington D.C. nchini Marekani.

Kundi hili linaundwa na watu watu nao ni: Joshua Salaam Naeem Muhammad na Abdul-Malik Ahmad.

Ni kundi la muziki wa hip hop ambalo huwa wanaimba nyimbo za kuuelezea uislamu.

Angalia moja ya video:

No comments:

Post a Comment