23 Dec 2011

Kutoka "Bad Boy" na kuwa "Good Muslim"


Amir Junaid Muhadith

Amezaliwa 20 June 1975 huko Harlem New York Marekani na alikuwa akijulikana kwa jina la Chauncey Lamont Hawkins. Aliamua kubadilisha jina lake baada ya kuamua kusilimu kwa kuwa alipata kujua ukweli juu ya Uislamu.

No comments:

Post a Comment