11 Sept 2014

Tangazo la Muhadhara Leicester Uingereza



Asalaam Aleykum,

Ndugu zangu katika IMANI, An Noor Community Centre wakishirikiana na Madrassatul Noor Leicester kwa pamoja wanakualika muhadhara wa dini ya kiislamu utakaofanyika siku ya Jumamosi ya tarehe 27/09/2014, katika msikiti wa An Noor kuanzia saa kumi kamili jioni (4pm).

Muhadhir mkuu atakuwa Sheikh Nassor kutoka London.

Waislamu wote wa kike na wa kiume wanakaribishwa. Wanawake nafasi yao itakuwa eneo la juu ya msikiti.

Tafadhali jitahidi kuisambaza habari hii ya muhadhara kwa waislamu wengine.

Kwa maelezo zaidi wasiliana na:
Abdul Dau: 07792104495
Ustadh Farid: 07792174408
Ustadh Issa: 07984106983

Anuani kamili ya msikiti ni:
170a Belgrave Gate
Leicester
LE1 3XL

Wabillah Tawfiq

No comments:

Post a Comment