8 Apr 2012

Picha: Khitma ya aliyekuwa Rais wa kwanza Zanzibar, Abeid Amaan Karume huko Kisiwandui Unguja


Baadhi ya watu waliohudhuria Khitma hiyo wakiwa nje ya jengo la Afisi Kuu ya CCM, Kisiwandui


Rais mstaafu wa Zanzibar Amaan Karume akiwasili katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM kuhudhuria khitma ya marehemu baba yake Abeid Karume


Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanziba Maalim Seif nae akiwasili viwanjani hapo


Makamu wa pili wa Rais Zanzibar, Balozi Ali Seif Iddi akisalimiana na baadhi ya viongozi wa chama


Mama Fatma Karume akisalimiana na kamishna wa Polisi Mussa Ali, alipowasili katika viwanja vya Kisiwandui kuhudhuria khitma ya aliyekuwa mumewe hayati Abeid Karume


Rais mstaafu wa Tanzania bwana Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na baadhi ya viongozi alipowasili viwanjani hapo


Rais wa Zanzibar Dokta Ali Mohamed Shein akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Chama na Serikali alipowasili uwanjani hapo








Waliohudhuria walisoma Quran na baadae kufatiwa dua






Baadae ilikuwa kumuombea marehemu dua katika kaburi lake. Mufti mkuu wa Zanzibar sheikh Omar Kabbi akisoma dua

No comments:

Post a Comment