23 Dec 2011

Nimeipenda hii

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Alhaj Dk Ali Mohammed Shein,akipokea salamu ya Heshma ya Gwaride rasmi la kikosi cha Polisi FFU,wakati wa sherehe za Sikuu ya Idd el Haj,huko jumba la wananchi Forodhani alipohutubia Baraza la Idd jana.
Rais wa Zanziabar na mwenyekiti wa Baraza La Mapinduzi akiwa ndani ya vazi moja maridhawa kabisa

No comments:

Post a Comment