26 Feb 2012

Picha: Maulidi ya mfungo sita Toronto Canada

Khalfan Abdullah Katika mpango mzima kusoma maulidi ya Mfungo Sita ya Mtume Muhammad. (S.A W) Yaliosomwa siku ya jumamosi Feb 18,2012 katika ukumbi wa lawrence heights commnity centre
Canada Toronto.

Baadhi ya wanafunzi wa Madrasatul Al-Amin akisoma maulidi ya Mfungo Sita ya Mtume Muhammad. (S.A .W)

Wanafunzi wa Madrasatul Al-Amin Nchini Canada Toronto akisoma maulidi ya Mfungo Sita ya Mtume Muhammad. (S.A W)

Wazee wamoja na wanafunzi wa kike wakiwa kwenye Mfungo Sita ya Mtume Muhammad. (S.A W) yaliosomwa siku ya Jumamosi Feb 18, 2012

Ustadhi Abdalluh Abukakar Mtawa akitoa mawili matatu kwenye sherehe hizo za maulidi ya Mtume wetu Muhammad. (S.A W) yanayofanyika kila mwaka ifikapo mwenzi wa kiislamu mfunga sita.

Ustadhi Jamal (kulia) akishirikiana na wanafunzi wa Madrasatul Al-Amin kwenye akisoma cha maulidi ya Mfungo Sita ya Mtume Muhammad. (S.A .W)

Mashaallah wakina mama nao walishiriki kikamilifu

2 comments:

  1. where can i find the madrasatul amin website

    ReplyDelete
    Replies
    1. there isn't one but if you need to get in contact with them, you can come to Eddystone Toronto

      Delete